Monday, June 6, 2016

Nembo yako inamaanisha nni?

Je wewe ni mfanya biashara au mjasiriamali au mfanyabiashara?umetengenezaje nembo yako? inakidhdi vigezo vya soko lako?

Kwanza Logo ni alama au nembo iliyodizainiwa mahsusi kwa ajili ya biashara yako, inayotumika kukutambulisha nje na ndani ya ofisi. Au Logo ni alama au nembo inayotumika kutambulisha huduma,bidhaa,kampuni au mfumo wowote wa vikundi.

Kwanini biashara yako inahitaji nembo
1.Humpa mteja maana au tafsiri ya biashara yako japo inaweza kuwa sio sawa na ya kwako
2.Huonyesha muonekano unaotakiwa
3.hukuongezea hadhi
4.huonyesha utofauti wako na wengine katika soko
5.Kuwa na muonekano wa kuvutia
6.Hujipanga yenyewe kwa malengo flani ya soko.

Vitu vya kuangalia unapotengeneza logo
1. Iwe ya kipekee
2. Inatakiwa iwasilishe uhalisia wa biashara ,bidhaa au huduma
3. Iwe na uwezo wa kuonekana kwa wateja unaowategemea
4. Iwe na uwezo wa kusimama na kujiimarisha muda hadi muda ( isipitwe na wakati)
5. Iwe na uwezo wa kutumika na kuoneka kwenye kila nyanja yamawasiliano.

Ushindani umeongezeka sana kwa sasa, sokoni bila ya kuwa na bidhaa iliyofanyiwa brand vizuri utalazimishwa kufuata wengine, hivyo hakikisha unafuata mtu au kampuni inayofahamu vizuri branding na( kudizaini ili wakutengenezee nembo itakayokidhi soko na matakwa yake.kwa mawasiliano zaidi 0713 603699 karibu tukutengenezee nembo bora kabisa kwa sasa tuna ofa 3 msimu huu wa Ramadhan.

Tengeneza nembo kwa Tshs.50,000 tu.

Print  business kwa Tshs. 20,000 Kwa piece 100.

Dizaini na kuprint flier/Vipeperushi. =120,000(Fliers 100)

Karibuni.

No comments:

Post a Comment